Polisi Tanzania wakubali mabadiliko shingo upande

Kikosi cha klabu ya Polisi Tanzania(Pichani).

Uongozi wa klabu ya Polisi Tanzania ya mkoani Kilimanjaro, imeyapokea kwa shingo upande mabadiliko ya ratiba ya mchezo wao wa ligi kuu ya Tanzania bara baina yao dhidi ya Mbeya City uliotakiwa uchezwe jana katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS