Tanzania imechelewa kujengewa Arena

Mkufunzi wa timu za Taifa za vijana za mpira wa kikapu Tanzania Bahati Mgunda (pichani).

Licha ya Serikali kuwa na mpango madhubuti wa kujenga uwanja mkuwa kwa ajili ya shughuli kubwa za michezo, mkufunzi wa timu za Taifa za vijana nchini Bahati Mgunda amesema mchakato huo ni mzuri ingawa umechelewa sana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS