Alikiba aighairisha behewa la ukarimu, aanza upya

Msanii wa BongoFleva Alikiba

Kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu Tanzania Mh. Benjamin William Mkapa, msanii wa BongoFleva Alikiba ameghairisha tamasha lake la Kigoma "Behewa la Ukarimu" ambalo alipanga kufanya siku ya Julai 31 mkoani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS