Nahodha wa zamani wa timu ya Taifa ya Hispania na klabu ya Barcelona, Xavi Hernandez (Pichani) akionyesha ufahari wa mataji (Treble) aliyotwaa akiwa klabu yake.
Nyota na nahodha wa zamani wa klabu ya Barcelona na timu ya Taifa ya Hispania Xavi Hernandez amethibitisha kugundulikwa kuwa na virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19