Maandalizi ya kuagwa Mzee Mkapa uwanja wa Uhuru

Maandalizi kwenye uwanja wa Uhuru ambapo atazikwa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin William Mkapa

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Abubakari Kunenge amesema taratibu za maandilizi ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa yanaendelea kwenye uwanja wa Uhuru pamoja na kuimarishwa kwa hali ya Ulinzi na Usalama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS