JPM ateua, Katambi, Prof Mkumbo na Ole Sendeka nje

Poichani ni Rais Magufuli, na viongozi wengine ambao amewatengua nafasi zao, akiwemo Profesa Mkumbo, Patrobas Katambi, Profesa Adolf Mkenda na Christopher Ole Sendeka.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, amefanya uteuzi kwa Wakuu wa Wilaya na Mikoa hapa nchini, pamoja na Makatibu Wakuu na Manaibu ambao wataapishwa Jula 20, 2020, Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS