"Kata ya Mwanga Kaskazini ni yangu binafsi" - Baba
Ni habari kutoka kwa msanii Baba Levo ambaye amesema, wajumbe wameshamaliza kazi baada ya kushinda kura za maoni kwa asilimia 97 ili aweze kuwania Udiwani wa Kata ya Mwanga Kaskazini, Kigoma kupitia chama cha ACT Wazalendo.

