"Mkapa alikataa kuitwa Mtukufu" - Dkt Kijo Bisimba

Dkt Hellen Kijo Bisimba.

Aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dkt Hellen Kijo Bisimba, amesema kuwa wakati wa uongozi wake Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa alikataa kabisa kuitwa jina la mtukufu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS