Uchebe avunja ukimya kuhusu Shilole Picha ya pamoja Uchebe akiwa na Shilole Aliyekuwa mume wa msanii Shilole bwana Uchebe amejitokeza mbele ya waandishi wa habari na kuongelea tukio lililopita kwa mesema hawezi kumpa mtu faida kwa sababu yeye ndiyo alikuwa kwenye ndoa. Read more about Uchebe avunja ukimya kuhusu Shilole