Emmanuel Mbasha autaka Ubunge,achukua fomu Singida

Kutoka upande wa kushoto Emmanuel Mbasha akichukua fomu ya kugombea Ubunge

Muimbaji maarufu wa nyimbo za Injili Tanzania Emmanuel Mbasha amonyesha nia ya kuutaka Ubunge baada ya leo hii kuchukua fomu ya kugombea katika Jimbo la Iramba Mashariki Wilaya ya Mkalama, Mkoani Singida.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS