Lissu ashindwa kuhudhuria mahakamani, ijue sababu

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.

Kesi ya uchochezi inayomkabili Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu leo Julai 30, 2020, imeahirishwa hadi Agosti 26, baada ya mtuhumiwa kushindwa kufika mahakamani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS