Kanisa la ufufuo na uzima lifunguliqw-Mwigulu Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, huku akielekeza lipewe miezi sita ya uangalizi katika kuzingatia miiko, masharti na sheria za uendeshwaji wake. Read more about Kanisa la ufufuo na uzima lifunguliqw-Mwigulu