Mwakinyo akamatwa tuhuma za kumpiga mtu Bondia Hassan Mwakinyo Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga linamshikilia kwa mahojiano bondia Hassan Mwakinyo, kwa tuhuma za kumshambulia mtu anayedaiwa kuingia katika eneo lake bila ya ridhaa yake. Read more about Mwakinyo akamatwa tuhuma za kumpiga mtu