Nicole afikishwa mahakamani, tuhuma za udanganyifu

Mwigizaji Joyce Mbaga maarufu kwa jina la Nicolejoyberry

Mwigizaji Joyce Mbaga maarufu kwa jina la Nicolejoyberry leo Machi 10, 2025 amefikishwa katika Mahakama ya Kinondoni, Dar es Salaam kwa ajili ya kujibu mashtaka ya tuhuma zinazomkabili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS