Thursday , 26th Mar , 2026

Baada ya Mo Salah kutangaza kuondoka mwishoni mwa msimu huu, majina haya 5 ndiyo yanayopigiwa upatu zaidi:

 

Michael Olise (Bayern): Fundi wa mguu wa kushoto, ana magoli 11 na assist 17 msimu huu. Huyu ndiye chaguo la kwanza, ila Bayern anatakubali ofa?

Yan Diomande (RB Leipzig): Dogo wa miaka 19, ana kasi na nguvu (magoli 14 msimu huu). anatajwa na wengi kwa sasa.

Anthony Gordon (Newcastle): Anaijua Premier League nje ndani.

​​​​​​​Mohammed Kudus (Spurs): Pira Burudani akiwa uwanjani ufundi kama wa chama lazima uhusike.

Jarrod Bowen (West Ham): Mzoefu, lakini umri umeanza kumtupa mkono kidogo.

Kati ya hawa, nani unaona anatosha kuvaa viatu vya Salah pale Anfield?