Marufuku kujadili afya ya Rais Cameroon Rais Paul Biya (91) amekuwa madarakani kwa zaidi ya miongo minne Mamlaka nchini Cameroon zimepiga marufuku vyombo vya habari kujadili afya ya Rais Paul Biya, kufuatia uvumi wa kifo chake. Read more about Marufuku kujadili afya ya Rais Cameroon