Frida Amani Aungana na Jason Momoa
Msanii Wa Rap Fida Aman ameshare Furaha yake ya kuchaguliwa kuwa balozi wa kusimamia urejeshwaji wa mifumo ya ikolojia na mambo ya mazingira kwa ujumla.Fifi anakuwa balozi wa kwanza Duniani kuchaguliwa katika nafasi hiyo jambo ambalo linaendelea kuiweka sawa Ramini ya Tanzania huko Duniani

