
Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake wa Chama cha ACT Wazalendo Janeth Rithe
Imeelezwa kuwa, awali maafisa wa polisi walifika zilipo ofisi za chama hicho Magomeni Dar es Salaam, lakini hawakumkuta na kuacha ujumbe, ambapo baadaye alitii wito huo na kujisalimisha mwenyewe.