Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaanza kupitia miradi ya kimkakati ya PPP

Tuesday , 2nd May , 2023

Serikali yakutana na wakuu wa mashirikia ya umma saba ya kimkakati na wabobezi wa uwekezaji wa ubia ya sekta ya umma na sekta binafsi kwa lengo la kubadilishana uzoefu utakaosaidia kuvutia mitaji ya kiasi cha dola za kimarekani Bilioni 9 sawa na shilingi trilioni 21 ndani ya miaka mitano

 

Akizungumza katika warsha hiyo Kamishina wa Ubia ya sekta ya Umma na sekta binafsi (PPP) David Kafulila amesema kuwa hatua hiyo ya kukutana na mashirika hayo yenye lengo la kujadili sekta mbili ikiwemo sekta ya miundombinu ya umeme pamoja na sekta ya uchukuzi inatazamiwa kuleta chachu ya kukamilisha miradi mbalimbali ya ubia nchini.

Aidha, Kafulila amebainisha kuwa wapo katika hatua ya kutafuta muwekezaji kwaajili ya ujenzi wa barabara kati ya kibaha mpaka morogoro , ikiwa na mgawanyo wa sehemu mbili ya ujenzi huo.

Nae Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Jenifa Omolo amebainisha kuwa hatua ya ujenzi wa barabara hiyo ambayo inatarajiwa kujenga katika mradi huo wa ubia utaweza kuchangia na kunufaisha sekta mbalimbali ikiwemo kilimo na kusaidia wakulima kusafirisha mazao yao kwa muda mfupi tofauti na kutumia muda mwingi katika usafirishaji wa mazao hayo.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani