
Mitungi ya gesi
Onyo hilo limetolewa na Meneja wa Wakala wa Vipimo mkoa wa Mwanza Hilolimus Mahundi, katika kikao cha kuwajengea uelewa wadau wa biashara ya gesi ili waweze kuzingatia matumizi sahihi ya vipimo kwa ajili ya kumlinda mlaji wa mwisho asipate kipimo pungufu katika mitungi ya gesi.