Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nigeria yabadili lugha ya kufundishia

Thursday , 1st Dec , 2022

Serikali ya Nigeria imetangaza sera inayolenga kukuza ufundishaji wa wanafunzi wa shule za msingi kwa lugha za kizawa badala ya Kiingereza. 

 

Waziri wa Elimu wa Nigeria Adamu Adamu amesema kwamba  mfumo huo mpya unaojulikana kama Sera ya Lugha ya Taifa umeidhinishwa kwa ajili ya utekelezaji.

Inaeleza kuwa mafundisho kwa miaka sita ya kwanza katika shule za msingi yatakuwa katika lugha mama. Kiingereza ni lugha rasmi ya Nigeria na taasisi zote za kujifunzia huitumia kama lugha ya kawaida ya kufundishia na kujifunzia.

Lakini lugha za wenyeji sasa zitachukua hatamu kwa sasa kuanzia ngazi ya shule za chekecheka, huku waziri wa elimu akisema  wanafunzi hujifunza vizuri zaidi wanapofundishwa kwa lugha yao ya mama.

Alikiri kuwa utekelezaji wa sera hiyo mpya utakuwa na changamoto kwa sababu "itahitaji kazi kubwa ya kutengeneza vifaa vya kufundishia na kupata walimu"..

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani