Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watanzania 80% kupata elimu ya fedha ifikapo 2025.

Sunday , 20th Nov , 2022

Kamishna wa Idara ya Maendeleo ya Sekta ya Fedha katika Wizara ya Fedha na Mipango ya Tanzania Dkt. Charles Mwamaja amesema kwamba serikali inapanga kuelimisha asilimia 80 ya watu ili kufahamu maswala ya fedha ifikapo 2025 kupitia utekelezaji wa mpango wa elimu ya kifedha.

Akiongea na wanahabari mjini Dodoma kuelekea Wiki ya Pili ya Huduma za Kifedha ya Kitaifa iliyofanyika jijini Mwanza, Dkt. Mwamaja amesema kuwa asilimia zaidi ya 40 ya wananchi hawana elimu ya masuala ya fedha licha ya jukumu kubwa la shughuli za kifedha katika maendeleo ya taifa.

Dkt. Mwamaja ameongeza kuwa ujuzi wa masuala ya fedha umesaidia mtu kuwa na usimamizi wa fedha binafsi kama vile bajeti za kaya, kadi za mikopo, bima, bajeti ya serikali, kukopa, kukopesha, kuwekeza, kodi na huduma za mikopo. Pia amesema ujuzi huo ni muhimu kwa maendeleo shirikishi na yenye maana ya kijamii na kiuchumi ya nchi husika kwa misingi endelevu.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani