Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vijana wanahangaika na supu ya pweza - Rais Samia

Friday , 30th Sep , 2022

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema matatizo mengi yanayiowakumba vijana nchini kwa sasa kiafya yanatokana na lishe duni huku matatizo hayo yakiendelea kuwa siri

Rais Samia amewataka watafiti mbalimbali kujikita kufanya utafiti na kuja na majibu sahihi kuhusu changamoto ya afya hususani kwa vijana nchini ambao amesema wanahangaika sana unapofika muda wa kuzalisha 

"Kwanini watoto wetu wakifika wakati wa kuongeza jamii wanahangaika, mara supu ya pweza, tuna tatizo na mnalijua mnalificha watafiti fanyeni utafiti, na kwasababu halisemwi ni siri linaumiza zaidi vijana wetu, tatizo kubwa lipo kwenye lishe"

Aidha amesema kama hali hiyo haitatafutiwa suluhu basi hali itaendelea kuwa mbaya zaidi 

"Tukiacha hali ikienda hivo tunaenda kuwa na taifa goigoi, tunaenda kuwa na taifa lenye watu lakini sio rasilimali watu, ni watu ambao ni mzigo kwa taifa, na sio watu ambao watazalisha kwa ajili ya taifa" 

Hata hivyo Rais samia amesema pamoja na changamoto ya lishe duni nchini lakini bado kuna changamoto kubwa ya lishe iliyopitiliza ambayo pia inawasumbua watu wengi

Utafiti wa lishe uliofanyika mwaka 2018 unaonesha kuwa wakati Tanzania inapambana na matatizo yanayotokana na lishe pungufu, kwa upande mwingine kuna matatizo yanayotokana na lishe inayopitiliza, tuna vitambi, wataalamu mnapaswa kulitekeleza

Rais Samia amesema hayo leo Ijumaa Septemba 30 wakati akishughudia utiaji saini mkataba wa usimamiaji wa shughuli za lishe  Jijini dodoma
 

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP