Mwanamitindo Ben Breaker na sweta lake la Milioni 10
Ben Breaker amesema hilo kupitia show ya Friday Night Live ya East Africa TV na East Africa Radio kitendo ambacho kimemshangaza mchekeshaji Idris Sultan kueleza kuwa wanamitindo wanapoelekea wataua watu.
Zaidi tazama hapa kwenye video akizungumzia sweta hilo.