Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ahukumiwa jela maisha kwa kumbaka mtoto wake

Monday , 26th Sep , 2022

Mahakama ya wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza imemhukuhumu kifungo cha maisha jela, Alphonce Ngassa maarufu kama Dutwa mwenye umri wa miaka (51) kwa kosa la kumnajisi (kumbaka) mtoto wake wa kike (9) kwenye nyumba ya kulala wageni ya Lala Unono.

Mshtakiwa huyo anadaiwa kumuweka binti yake katika nyumba hiyo na kumfanyia vitendo hivyo kwa kipindi cha mwezi mmoja.

Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya Nyamagana,  Juma Mpuya amesema mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo mwishoni mwa mwaka jana ambapo jumla ya mashahidi sita akiwemo  mtoto aliyefanyiwa kitendo hicho walitoa ushahidi wao katika mahakama hiyo.

Kutokana na ushahidi wote uliotolewa mahakamani hapo, mahakama hiyo ilijirisha pasipo kuacha shaka kwamba mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo na hivyo kumtia hatiani.

Kwa upande wake, Mwendesha mashtaka wa serikali,  Ghati Mathayo akaiomba mahakama hiyo itoe adhabu kali kwa mshtakiwa kutokana na kufanya kitendo kibaya kwa mtoto wake wa kumzaa ambaye ni mdogo na inadaiwa amemharibu sehemu zake za siri ikiwemo na kumharibu kisaikolojia kwa kumnajisi mwezi mzima.

Kutokana na ushahidi pamoja na maelezo ya mwendesha mashtaka mahakama ikamhukumu  kifungo cha maisha jela mshtakiwa huyo.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani