Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kuondoa tozo miamala kuanzia sh.0 -30,000

Wednesday , 21st Sep , 2022

Serikali ya Tanzania inatarajia kufanya marekebisho kadhaa katika tozo za miamala ya kifedha ikiwani pamoja na kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu na kufuta tozo za kuhamisha fedha ndani ya benki moja, ili kuepuka utozaji kodi mara mbili.

Kamishna Msaidizi wa Uchambuzi wa Sera kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, William Mhoja

Hayo yamebainishwa leo na Kamishna Msaidizi wa  Uchambuzi wa Sera kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, William Mhoja wakati akitoa ufafanuzi kufuatia kauli ya Waziri wa fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba kuhusu hatua zilizochukuliwa na serikali katika miamala hiyo.

Mhoja amesema kuwa serikali inakusudia pia kusamehe tozo za miamala kuanzia Shilingi 0 hadi 30,000 kwa huduma zote za miamala ya fedha ambapo vyote vitawekwa bayana kwenye kanuni baada yakukamilika na kuanza kutumika Oktoba 1, 2022.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya