Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara Stendi ya JPM wapunguziwa kodi

Thursday , 15th Sep , 2022

Wafanyabiashara katika kituo cha Mabasi cha Dkt. John Pombe Magufuli Jijini Dar es Salaam, wamesema hivi sasa wanaunafuu wa gharama za upangaji katika jengo la kituo hicho kwakuwa gharama ya pango imepungua kutoka Sh. 160,000 hadi kufikia 90,000 kwa baadhi ya wafanyabiashara.

Eneo la biashara Stendi ya Dkt. Magufuli

Hatua hiyo inakuja baada ya kilio cha muda mrefu kutoka kwa wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao katika kituo cha Mabasi cha Dkt. John Pombe Magufuli kuhusu bei kubwa ya pango katika eneo la kupumzika abiria mabo ndio wateja wakubwa wa wafanyabiashara hao katika kituo hicho.

 Aidha, wafanyabiashara hao wamesema kuwa  hivi sasa wateja au abiria hawapatikani kwa wingi na kwamba abiria wengi hawafiki stendi na hii inaathiri hata wafanyabiashara walioko wengi na kwamba  wauzaji wa bidhaa wamekuwa wengi kuliko wanujuzi.

“Kwakweli tuneteseka sana kulipa kodi hapa, bei ya pango ilikuwa juu na sasa tunaishukuru serikali kwa kupunguza kodi katika kituo hiki. Mfano mwanzo nilikuwa ninalipa 160,000 kwa mwezi lakini sasa hivi ninalipa 90,000 kwa mwezi jambo ambalo linanipa unafuu. Changamoto imeibuka ni upungufu wa wateja, sasa hivi wateja hakuna kabisa tofauti na wiki mbili zolizopita"- Issa Suleiman, Mfanyabiashara JPM Stand.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu