Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watafiti wasisitiza nchi ijenge viwanda

Tuesday , 2nd Aug , 2022

Watafiti Nguli nchini Tanzania wasema kwa sasa nchi inatakiwa kuzidi kuongeza viwanda vingi ili kuongeza thamani ya rasilimali za asilia nyingi zinazopatikana kwenye mikoa mbalimbali ikiwemo gesi asilia, madini, Kilimo, pamoja na mafuta ili kukuza uchumi wa Taifa.

Tafiti zinaonesha kuwa wachimbaji wadogo wa madini bado hawajaweza kunufaika kwenye sekta hiyo kutokana na kuuza madini ambayo hayajaongezewa thamani hali ambayo sasa imewaketisha pamoja watafiti Nguli kutoka Taasisi ya Repoa kutoa mafunzo Kwa wadau wa kutoka mashirika mbalimbali kuzitazama sera na namna gani kama nchi inaweza kunufaika na rasilimali za asilia.

Hata hivyo Dk Peter Kafumu  aliyewahi kuwa Kamishna wa madini nchini amesema ugumu wa sera unatokana katika kuweka mzani sawa kati ya wawekezaji wanaokuja pamoja na wananchi Kwa pamoja kuweza kunufaika na rasilimali ambazo zinatajwa kuisha endapo mipango thabiti itachelewa.

Kwa upande wao washiriki mafunzo hayo wamesema uwekezaji unatakiwa katika teknolojia,ushirikishwaji wa wananchi na watunga sera Hali itakayoondosha mikataba mibovu iliyokuwepo hali  itakayoongeza ajira.
Ili uchumi ukuwe watafiti wanashauri lazima sera ziwe Shirikishi Kwa rasilimali zinaisha.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani