Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia aagiza asilimia 10 ibaki kama ilivyo

Saturday , 25th Jun , 2022

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza Mikopo kwa vikundi maalumu ibaki asilimia 10 tofauti na mapedekezo ya Bajeti kuu yaliyotaka iwe asilimia tano

Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza kuwa fedha za mikopo kwa wanawake ,Vijana na Walemavu kutoka kwenye mapato ya Halmashauri zibaki kuwa asilimia 10 tofauti na mapendekezo yaliyotaka zibaki asilimia 5.

Dk.Mwigulu ameyabainisha hayo jana Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu hoja za wabunge waliochangia mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2022/2023 ambapo amesema Rais amesisitiza wananchi wasikilizwe kwanza kwakua ndio wamewaagiza wabunge wawaseme Bungeni hapo, huku Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda akisisitiza serikali kupitia fomu za maelekezo ya michango mashuleni kupunguzwa ili kuounguza mzigo kwa wazazi na wanafunzi.

Katika muendelezo wakujibu hoja za Wabunge leo ili kupitisha Bajeti hiyo ,Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Jenister Mhagama ameagiza kutumika kwa database ya Utumishi ili watanzania wengi waweza kupatiwa ajira na kuhifadhi kumbukumbu sahihi ambazo zitaboresha utumishi ,huku Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe akisisitiza bei za mbolea hazitawaumiza wakulima kama ilivyokua ikisemwa nakuwatoa hofu wakulima.
 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu