Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ufaransa yaipa Tanzania mkopo wa bilioni 195

Tuesday , 21st Jun , 2022

Tanzania na ufaransa kupitia shirika lake la Maendeleeo AFD zimesaini mkopo wa masharti nafuu wa Shilingi bilioni 195 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa usambazaji wa maji safi na usafi wa mazingira katika mkoa wa shinyanga.

Wakisaini makubaliano hayo jijini Dar es salaam katibu Mkuu wa Wizara ya fedha na mipango Emmanuel Tutuba amesema utekelezaji wa mradi huo wa maji unakwenda kuongeza upatikanaji wa maji kwa asilimia 95 katika manispaa ya shinyanga na watu zaidi ya laki tatu watanufaika na huduma ya maji safi na salama mkoani humo.

Hata hivyo Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji mhandisi Anthony Sanga amesema , kukamilika kwa mradi huo pia kutasaidia kuongeza uzalishaji wa maji kutoka mita za ujazo 25,877 kwa siku hadi kufikia mita za ujazo 33,944 kwa siku.

Kwa upande wake Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Nabil Hajloui amesema kuwa lengo  kuu la ufadhili huo ni kuboresha hali ya maisha ya wakazi pamoja na maendeleo ya kiuchumi kupitia upanuzi na ukarabati wa maji ya kunywa na huduma za usafi wa mazingira

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani