Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wasiooa hufa zaidi kwa magonjwa ya moyo

Thursday , 2nd Jun , 2022

Utafiti umeeleza kwamba watu ambao hawajaoa ama kuolewa wapo kwenye hatari zaidi ya kufariki dunia kwa magonjwa ya moyo, na kwamba hata ule uwezo wao katika kujisimamia huwa ni mdogo ukilinganisha na watu waliooa ama kuolewa.

Mtu mwenye magonjwa ya moyo

Dk Fabian Kerwagen wa Hospitali ya Chuo Kikuu cha Wurzburg Ujerumani amesema kwamba watu waliooa ama kuolewa wanayonafasi kubwa ya kuishi kutokana na usaidizi wanaoupata kutoka kwa wenzi wao ikiwemo kukumbushwa suala la utumiaji wa dawa kwa wakati.

"Tumegundua kwamba wagonjwa ambao hawajaolewa ama kuoa wanashindwa kuhusiana na jamii ukilinganisha na waliooa ama kuolewa na pia wanakosa uthubutu wa namna ya kukabiliana na magonjwa hayo, bado tunachunguza," amesema Dkt. Kerwagen

Aidha Dkt. Kerwagen amewasisitiza wahudumu wa afya kuwauliza wagonjwa wenye matatizo ya moyo kuhusu hali zao za mahusiano na wahakikishe wanawahamasisha ili wawe na uwezo wa kujisimamia wenyewe.
 

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP