Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHADEMA wataja walichoteta na Rais Samia Ikulu

Monday , 23rd May , 2022

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetaja mambo kumi waliyoyafikisha katika kikao walichoshiriki wiki iliyopita kilichoongozwa na Rais Samia Suluhu na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa CCM na CHADEMA.

Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika

Akizungumza na wanahabari leo Mei 23/2022 Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika amesema miongoni mwa ajenda hizo ni Mchakato wa Katiba mpya, Madhara ya ukiukwaji wa haki kwa miaka sita iliyopita na kupendekeza kuundwa kwa tume ya ukweli na upatanishi.

Mengine ni kushughulikiwa kwa madhara yaliyotokana na uchaguzi wa 2020, uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zake, kufutwa kwa kesi zenye muelekeo wa kisiasa, kurekebisha sheria kandamizi, kushughilikia masuala yanayohusu viongozi, wanachama na watu walioshambuliwa, kupotea au kuuawa kwa sababu za kisiasa.

Aidha ametaja masuala mengine kuwa ni sakata la wabunge 19 wa viti maalumu waliofukuzwa CHADEMA, hakikisho la usalama kwa viongozi waliopo nje kwa sababu za kisiasa, kuvurugwa kwa kambi ya upinzani bungeni, pamoja na madhara yaliyowakumba watu mbalimbali kwa sababu ya kukandamizwa kwa haki na Demokrasia.

Mnyika amewataka wanachama wa CHADEMA kuwa watulivu katika kipindi hiki cha mazungumzo hayo huku akisema taarifa za kinachoendelea kitatolewa kupitia vikao halali vya chama hicho

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP