Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampeni ya Namthamini 2022 kuzinduliwa Mei 27

Saturday , 21st May , 2022

Kampeni ya Namthamini kwa mwaka 2022 inatarajiwa kuzinduliwa tarehe 27 Mei, 2022 ikiwa ni muendeleo wake kwa ajili ya kuwasaidia watoto wa kike kusoma bila kikwazo katika shule mbalimbali Tanzania kwa kuwapatia taulo za kike.

Kampeni ya Namthamini kuzinduliwa 27, Mei, 2022

Tukio la uzinduzi rasmi wa kampeni hii litafanyika katika shule ya sekondari ya Kidete wilayani Kigamboni, Dar es Salaam, mgeni rasmi akiwa ni Mkuu wa Wilaya hiyo, Mhe. Fatma Nyangasa.

Huu ni mwaka wa sita kampeni hii inafanyika tangu kuanzishwa kwake mwaka 2017, ambapo kwa mwaka 2022 East Africa TV na East Africa Radio inashirikiana na Rotary Club of Dar es Salaam, Oysterbay, AMREF Tanzania na CRDB Bank.

East Africa Tv na East Africa Radio imekuwa ikiratibu kampeni hii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, ambapo kwa mwaka 2021 ilifanikisha kugawa taulo za kike za kuwaweka shuleni watoto 1500 katika mikoa mbalimbali.

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP