
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba
Mkutano huo uliokuwa ufanyike leo Aprili 10, 2022 na sasa utafanyika kesho Aprili 11, 2022 saa 7:00 mchana.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa mapema Mawaziri hao walikuwa wanatarajia kuzungumzia uchumi na kupanda kwa bei za bidhaa.