Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nice & Free Pads yawaweka shuleni watoto 85

Thursday , 8th Jul , 2021

Kampuni ya Nice & Free Pads imechangia pedi kwa wanafunzi wa kike 85 watakaotumia kwa muda wa mwaka mmoja kupitia kampeni ya Namthamini ili waweze kupata hedhi za salama na kuendelea na masomo bila kuwa na hofu ya katika kipindi chote cha muhula wa masomo pindi wanapokuwa kwenye siku zao.

Mkurugenzi Mtendaji wa East Africa Television na East Africa Radio Regina Mengi (Kushoto) akipokea mchango kwa ajili ya Kampeni ya #Namthamini kutoka kwa Mkurugenzi wa kampuni ya Nice & Free Pads, Nice Kennedy (Kulia).

Akizungumza na EATV Mkurugenzi Mtendaji wa Nice & Free Pads, Nice Kennedy, amesema kama kampuni inayojishughulisha na usambazaji na uuzaji wa taulo za kike (Pedi), inatambua uhitaji mkubwa uliopo wa pedi kwa wanafunzi wa kike hususani katika maeneo ya vijijini hivyo kupitia kampeni hii wanafunzi wa kike wanakwenda kuwa na furaha ikiwa ni pamoja kuinua elimu yao.

Aidha, Mkurugenzi huyo amepongeza Kampeni ya Namthamini ya EAST AFRICA TELEVISION ikishirikiana na Flaviana Matata Foundation pamoja na uongozi mzima kwa kampeni hii, na kusema kwamba  inaenda kugusa na kuwainua watoto wa kike nchini ambao wanashindwa kuhudhiria masomo kutokana na kukosa taulo za kike.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani