Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Malaika afunguka kuhusu matumizi ya Mbwa Puppy 

Monday , 10th May , 2021

Baadhi ya wasanii na watu maarufu wengi duniani wamekuwa na 'style' ya kufunga mbwa wadogo aina ya 'Puppy' ambao huwafanya kuwa wanyama rafiki wawapo nyumbani kwao au hata kwenye mitoko yao.

Msanii Malaika na mbwa wa aina ya Puppy

Sasa msanii wa muziki Malaika amenyoosha maelezo kuhusu matumizi ya mbwa hao ambaye hata yeye anaishi nae nyumbani kwake Kigambono Dar es Salaam.

"Kigamboni ninao majirani sipati Upweke nyumbani kwa sababu kuna wageni wanakuja, matumizi ya vile vi-puppy (Mbwa) huwa vinakupa company, unamtoa nje na yeye ku-enjoy" amesema Malaika

Staa wa filamu Wema Sepetu aliwahi kuweka dau la Tsh Milioni 1 mpaka 2 kwa mbwa wake wa aina hiyo aitwaye Manunu alivyopotea, hata Aliyekuwa Rais wa Marekani awamu ya 44 Barack Obama naye anaomboleza kifo cha mbwa wake aitwaye Bo ambaye amekufa kwa Ugonjwa wa Kansa.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani