Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mallya afunguka kuhusu Mama Mchungaji na Sheikh

Thursday , 6th May , 2021

Wahenga walisema mapenzi majani huota popote na hayachagui nchi, rangi, kabila na dini lakini mshauri wa masuala ya mahusiano Rosemary Mallya amesema usiingie kwenye ndoa kama mmoja wa wazazi wenu ni Mchungaji au Sheikh.

Mshauri wa mahusiano Rosemary Mallya

Akizungumzia suala hilo kwenye mada ya dini ina nafasi gani kwenye mahusiano kupitia show ya DADAZ Rosemary Mallya ameeleza kuwa "Kuhusu ndoa kwenye dini inaweza ikawa kikwazo na inaweza isiwe kikwazo kama huelewi nini unataka, kwa sababu kuna watu wameona kwa dini moja lakini bado hawana imani, cha kwanza unatakiwa ujue dini yako inasemaje kabla ya kuingia kwenye ndoa"

"Usiingie kwenye ndoa kwa sababu ya dini, ipende dini kwanza kuliko ndoa hata mkiachana utaendelea kuipenda dini yako, dini isiwe chanzo cha wewe kupata ndoa kwa sababu utakuwa unampenda mume au mkeo na maana dini hutaitumikia vizuri" Rosemary Mallya- Mshauri wa mahusiano

"Ukishajua mama yako ni Mchungaji halafu baba yake ni Sheikh msiingie kwenye mahusiano na mtu wa dini tofauti na hizo, utahitaji ushauri na baraka kutoka kwa wazazi sasa utakapoingia kwenye hiyo ndoa na wazazi wameikataa hautaweza kushaurika"

Interview nzima bonyeza hapa kutazama.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa