Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Gekul akanusha katiba TFF, TOC, kuwalinda viongozi

Monday , 3rd May , 2021

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo Pauline Gekul amelitaarifu bunge kuwa shirikisho la  Mpira wa miguu Tanzania TFF na Kamati ya Olimpiki Tanzania TOC hazijawahi kubadili katiba zao kwa lengo la kuwalinda viongozi walioko madarakani, kwani mabadiliko yoyote ya kikatiba laz

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo Pauline Gekul

Mhe. Gekul amekanusha madai hayo leo bungeni, yaliyoibuliwa kufuatia swali la Mbunge wa Makunduchi, Ravia Faina juu ya kwanini Vyama vya michezo vimekuwa vikibadili katiba zao kulinda viongozi walioko madarakani na kudhibiti watanzania wengine wasigombee nafasi katika vyama hivyo.

“Napenda kuliarifu Bunge lako tukufu kwamba shirikisho la TFF na TOC hayajawahi kubadili katiba zao kwa lengo la kulinda viongozi walioko madarakani, kwa kuwa mabadiliko yoyote ya kikatiba lazima yakidhi vigezo vya usajili vinavyosimamiwa na msajili wa vyama na vilabu vya Michezo nchini vikiwemo utawala bora na ukomo wa muda wa uongozi chini ya BMT,” amesema Mhe. Gekul

Pia akizungumzia juu ya ukomo wa uongozi katika baadhi ya vyama vya michezo amesema kwa upande wa TOC tiyari suala hilo lilishafanyiwa marekebisho nakupelekwa kwa msajili huku akiahidi kutembelea kwenye ofisi za baadhi ya vyama ili kupitia vigezo vilivyopo na kuvifanyia kazi.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani