Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Prof. Kitila atoa maelekezo BRELA

Wednesday , 21st Apr , 2021

Serikali imewataka watumishi kutoka Wakala wa usajili na utoaji leseni  za biashara BRELA kuongeza kasi, kuboresha mahusiano kwa wafanyabiashara sambamba na kuweka taarifa zote sahihi endapo mtu anahitaji kufungua kampuni ama kuanzisha biashara.

Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo.

Kauli hiyo imetolewa hii leo na Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo wakati alipotembelea BRELA na kuzungumza na watumishi akitoa maelekezo kuwa Kazi ya serikali ni kuwezesha  mazingira ya wawekezaji kuwekeza hivyo kuomba watumishi kutokuwa kikwazo.

Sambamba na hilo ametamani kuona watumishi waliopewa dhamana katika sekta ya biashara kuhakikisha zinatafuta masoko ya kimataifa kwa ajili ya wafanyabiashara wa ndani kuwa Dunia ya leo imejaa ushindani hivyo kuitaka pia sekta binafsi kujipanga kiushindani.

"Kazi ya serikali ni kuweka mazingira ili sekta binafsi ifanye kazi niwaombe watumishi wote kufanya kazi usiku na mchana huku wakikaa kibiashara zaidi", amesema Prof. Kitila.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa BRELA amesema kwa sasa mifumo yote iko vyema katika usajili wa makampuni kupitia mtandao.

"Kwa sasa system zetu ziko imara tofauti na huko nyuma zilikuwa na mafua mafua kidogo"Godfrey Nyaisa-Mkurugenzi mtendaji BRELA.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP