Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia atoa kauli mijadala ya bungeni

Sunday , 18th Apr , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amewataka wabunge kuwa na mijadala inayojikita katika kupitisha bajeti za serikali kwa ajili ya maendeleo ya taifa badala mijadala amabayo haina tija kwa taifa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan

Rais Samia amesema hayo katika Kongamano la kidini la taifa liliofanyika Dodoma ambapo ameeleza kuwa awamu ya Sita imeikita kuendeleza na kudumisha mema yaliyopita, yaliyopo na mapya na hiyo  ndio maana halisi ya kauli yakke ya ‘Kazi Iendelee' kwani kazi ilishafanywa hiovyo inaendelezwa .

“Nimekuwa nikifuatilia mijadala yenu bungeni, ni mijadala ambayo haina afya kwa taifa letu naomba sana kipindi hiki ndugu zangu wabunge tunatakiwa kupitisha bajeti za sekta mbalimbali, bajeti ya serikali kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu naomba jikiteni sana huko" amesema  Rais Samia

Pia Rais Samia ameeleza kuwa tiyari ameshaunda kamati ya kumshauri kuhusiana na hatua ambazo zinaweza kuchukuliwa kama nchi kuhusuiana na anga la virusi vya corona.

“Nataka niwape taarifa kwamba tayari nimeshaunda kamati ya kunishauri kuhusu hatua tunazoweza kuchukua kama nchi jinsi tutakavyojikinga na janga la corona, na hivi punde nitakaa nao na uongozi wa Wizara ya Afya na Wizara ya Fedha ili kuona namna tutakavyokwenda na jambo hili” amesema Rais Samia
 

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP