Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Guardiola amvulia kofia Bellingham

Thursday , 15th Apr , 2021

Kocha wa Manchester City,Pep Guardiola amemvulia kofia kiungo kinda wa klabu ya Borrusia Dortmund, Jude Bellingham mwenye umri wa miaka 17 kwa kuonesha uwezo mkubwa wa kusakata kabumbu ilhali akiwa na umri mdogo tena kwenye michuano ya klabu bingwa barani Ulaya usiku wa jana April 14, 2021

Pep Guardiola (kushoto) na Jude Bellingham (kulia).

Guardiola ameyasema hayo baada ya mchezo wa timu yake ya Manchester City kuifunga Dortmund mabao 2-1 ugenini kwenye uwanja wa Signal Iduna park nchini Ujerumani na kufuzu hatua ya nusu fainali kwa jumla ya mabao 4-2 baada ushindi wa maba0 2-1 kwenye mchezo wa kwanza.

Pep amesema, “Siwezi kuamini,huenda ni muongo! Yupo vizuri sana kama hana umri wa miaka 17, ni mchezaji bora sana. Kuna muda hakupasiwa mpira kutoka kwa walinzi wa kati wa timu yake, namna alivyoongea kwa kufoka na kutaka apasiwe yeye kwa umri alionao ina maan akubwa sana”.

“Niliongea na kocha wake, Edin Terzic, na aliniambia unachokiona sasa ndicho anachofanya kila siku akiwa mazoezini”.

(Jude Bellingham akishangilia baada ya kufunga bao dhidi ya Manchester City usiku wa jana.)

Bellingham baada ya kuonesha soka safi na kufunga bao la kufutia machozi ameweka rekodi kadhaa, amekuwa mchezaji wa kwanza mwenye umri mdogo miaka 17 na siku 289 kufunga bao kwenye michuano hiyo akiwa raia wa England na kuwapiku, Theo Walcott na Oxlade Chamberlin.

Na bao lake hilo, ndilo bao lake la kwanza kwenye michuano hiyo, na la kwanza akiwa na Dortmund kwenye michuano hiyo tokea ajiunge nao mwezi wa saba mwaka 2020.

Jude Bellingham amecheza michezo 39 kwenye michuano yote, akifunga mabao 3 na kutengeneza mabao 4.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu