Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pato la Taifa lakuwa kwa asilimia 6.9

Thursday , 8th Apr , 2021

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema tathimini za utekelezaji wa mpango wa pili wa maendeleo ya  taifa limeonesha kuwa pato la taifa lilikuwa kwa asilimia 6.9.

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba

Dkt.Mwigulu amesema hayo akiwasilisha mapendekezo ya mpango wa Mpango wa  wa tatu wa maendeleo ya taifa wa miaka mitano ambapo amesema mpango huo una lengo la kujenga uchumi shindani na viwanda kwa maendeleo ya watu.

“Kuhusu tathimini na utekelezaji mpango wa maendeleo ya taifa  uliopita inaonesha kuwa katika kipindi cha utekelezaji cha miaka minne pato la taifa lilikuwa kwa 6.9%  mfumuko wa bei ulikuwa wa wastani 4.1%  kwa mwaka, ikiwa ndani ya lengo la kutozidi asilimia 5,” amesema Dkt.Mwigulu

Awali kabla ya kuwasilisha mapendekezo hayo Dkt. Mwigulu alimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uteuzi katika nyadhifa aliyompa na kusema kuwa uteuzi huu unadhihirisha Rais ana imani kubwa na wana yanga

“Mhe. Spika uteuzi wa Makamu wa Rais na uteuzi wangu umeonyesha Mhe. Rais ana imani kubwa sana na wana yanga hasa ukizingatia historia ya ukombozi wa taifa hili," amesema Dkt.Mwigulu

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya