Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkalimani afunguka "Niliongea mengi mmeliona lile"

Thursday , 1st Apr , 2021

Mkalimani Matungwa Mutatina aliyezua gumzo mitandaoni siku ya kumuaga Hayati Dkt John Pombe Magufuli Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, amesema kilichomtokea sio kushindwa kutafsiri maneno bali ni matatizo ya kiufundi.

Picha ya Mkalimani Matungwa Mutatina

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital, Mkalimani huyo amesema mitambo ilifika mahala ambapo sauti inatoka ikiwa inakatakata kisha akawa hasikii kabisa sauti inayotoka kwa aliyekuwa anaongea.

"Ile hali ilinistua kidogo, kilichokuwa kimetokea haikuwa kwamba nimeshindwa kutafsiri maneno ila kulikuwa na sababu za kiufundi, mitambo ilifika mahala ikawa haisikii na sauti inakuja kwa kukatakata lakini haikunivunja moyo, kwa sababu waliokuwa wanacheka hawakujua kilichotokea na kuendelea" ameeleza Mkalimani Matungwa Mutatina 

Aidha Mkalimani amesema anawaomba watu wawe na uzalendo na wajirekibishe kwa kilichotokea kwa sababu kulikuwa na vitu vingi hasa ilikuwa siku ya kumuaga Hayati Dkt John Pombe Magufuli ila watu wamemdhihaki na kumcheka kwa kilichomtokea.

Zaidi mtazame hapa chini.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu