Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC Mbeya aomba wagawane takwimu VVU

Monday , 8th Mar , 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, amesema anaandaa kikao na Mkuu wa Mkoa wa Songwe ili kugawana takwimu za maambukizi ya Virusi vya Ukimwi VVU kama walivyogawana mali na vitu vingine wakati wanaugawa Mkoa wa Mbeya.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila akiongea

Takwimu za mambukizi ya VVU Mbeya kwa sasa ni asilimia 9.

Chalamila ameyasema hayo leo Machi 8, 2021 wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliyofanyika katika ukumbi wa Mkapa jijini Mbeya.

Ameeleza kuwa wakati wanaugawa Mkoa wa Mbeya waligawana mali na vitu vingine lakini takwimu za Ukimwi hawakugawana hivyo kuufanya Mkoa wa Mbeya kuwa na takwimu za juu kuliko zingegawiwa.

"Tutafanya kikao na Mkuu wa Mkoa wa Songwe ili kuwagawana hizi takwimu za maambukizi ya Virusi vya Ukimwi maana wakati Mkoa wa Mbeya ukigawanywa takwimu zilibaki kwetu, hivyo lazima tugawane kama vitu vingine tulivyovigawa na utasaidia Mbeya kuwa na idadi ndogo ya maambukizi kuliko ilivyo sasa'', amesema Chalamila.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya