Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bartomeu aachiwa kwa dhamana

Tuesday , 2nd Mar , 2021

Rais wa zamani wa Barcelona, Jose Bartomeu ameachiwa kwa dhamana na mahakama nchini Hispania baada ya jana kushikiliwa na polisi kutokana na tuhuma za kutoa rushwa kwa moja ya kampuni ya mawasiliano kuwachafua baadhi ya nyota wa zamani na wa sasa wa timu hiyo.

Bartomea ameachiwa pamoja na mshauri wake wa zamani Jaume Masferrer huku wathuhumiwa wengine wawili, Afisa mtendaji mkuu, Oscar Grau na mkurugenzi wa sheria wa klabu hiyo Roman Gomez Punti taarifa za kuachiwa kwao zikiwa bado hazijathibitika. 

Taarifa nchini Hispania zimemeeleza kuwa baadhi ya wachezaji nyota wa zamani wa Barcelona waliokuwa wakichafuliwa kwenye mitandao ya kijamii iliyopewa fedha na Rais Bartomeau ni; Xavi Hernandez, Carlos Puyol na kocha wa hivi sasa wa Manchester City Pep Guardiola.

Wachezaji wanaocheza hivi sasa ambapo pia ni sehemu ya waliofanyiwa propaganda hizo ni Lionel Messi na Gerrard Pique ambao inaaminika hawakuwa wanapendezewa na namna ya klabu hiyo ilivyokuwa inaendeshwa chini ya uongozi wa Rais huyo aliyeiongoza Barca tokea mwaka 2014-20.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani