Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Trump atoa maamuzi siku ya mwisho ya urais wake

Wednesday , 20th Jan , 2021

Rais wa Marekani anayemaliza muda wake hii leo Januari 20, 2021, Donald Trump, ametoa msamaha kwa wafungwa 73 na kupunguza adhabu kwa wafungwa wengine 70. Miongoni mwa waliosamehewa ni pamoja na aliyekuwa mshauri wake mkuu Steve Bannon na rapa Lil Wayne.

Donald Trumpa, Rais wa Marekani anayemaliza muda wake leo Januari 20, 2021

Hatua hii ya Trump kutoa msamaha kwa wafungwa huku wengine akiwapunguzia adhabu, anaitelekeza yakiwa yamebaki masaa kadhaa tu ili amkabidhi kiti hicho Rais mteule wa Taifa hilo Joe Biden, zoezi ambalo litafanyika leo Januari 20, 2021, saa 2:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki.

Lil Wayne, alikuwa akikabiliwa na mashtaka ya kumiliki silaha kinyume na sheria, huku rapa mwenzake Kodak Black, na aliyekuwa Meya wa Detroit Kwame Kilpatrick, wakipunguziwa vifungo vyao.

Kwa upande wa aliyekuwa mshauri wake mkuu, Steve Bannon, yeye alikuwa akikabiliwa na mashtaka ya makosa ya udanganyifu juu ya kampeni ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kujengea ukuta katika mpaka wa Marekani na Mexico.

Katika kampeni hiyo inadaiwa kuwa Bannon alipokea zaidi ya dola milioni 1, ambazo baadhi ya pesa hizo alizitumia kwa matumizi yake binafsi.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya