Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba Yanga shughuli pevu nusu fainali Mapinduzi

Monday , 11th Jan , 2021

Nusu fainali mbili za Kombe la Mapinduzi, zinachezwa leo Jumatatu Januari 11, 2021, katika uwanja wa Amaan visiwani Zanzibar, ambapo michezo yote miwili ya hatua hii itapigwa.

Wachezaji wa Simba SC na Namungo FC

Mchezo wa kwanza utakuwa kati ya Yanga dhidi ya Azam majira ya saa 10:00 jioni na usiku majira ya saa 8:15 kutakuwa na nusu fainal ya pili inayohusu Simba dhidi ya Namungo. Washindi watakutana katika fainali Jumatano tarehe 13/1/2021.

Michuano hii iliyoanza  5/1/2021 ilishirikisha  timu 9,  tano kutoka  bara  ambazo ni Simba, Yanga, Namungo, Mtibwa na Azam, huku visiwani wakiwa na timu nne  Jamuhuri, Chipukizi, Mlandege na Malindi, lakini katika hatua ya nusu fainali hizi, zimehusisha timu zote kutoka Tanzania Bara.

Kikosi cha Yanga SC na wachezaji baadhi wa Azam FC 

Aliyekuwa bingwa mtetezi Mtibwa Sugar, ametolewa rasmi katika mashindano haya, baada ya kuruhusu  kupoteza mchezo mmoja na kushinda moja hivyo kukosa tiketi ya 'mshindwa bora'.

Mashindano haya yaliyoanza mwaka  2007 yameshuhudia timu za  Tanzania bara zikifanya vyema zaidi kwa kutwaa ubingwa mara 10 katika misimu 13 ya mashindanano, Azam mara 5 Simba 3 Yanga 1 na Mtibwa mara 1.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani