Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alichoambiwa Mwasiti na mama yake Godzillah

Tuesday , 5th Jan , 2021

Leo ni Januari 5, kumbukumbu ya kuzaliwa kwa aliyekuwa msanii wa HipHop Golden Jacob 'Godzillah' ambaye alifariki dunia siku ya Februari 12,2019 ambapo kama angelikuwa hai angesheherekea kutimiza umri wa miaka miaka 32.

Msanii Mwasiti akiwa na Godzillah enzi za uhai wake

Huyu hapa ni dada mkuu wa Bongoleva pia alikuwa mtu wa karibu na marehemu Godzillah, Mwasiti ameshea stori kuhusu kitu alichoambiwa na mama mzazi wa aliyeuwa msanii huyo.

"Nilimjua Zilla wakati ana-hit na wimbo wake wa salasala, muunganiko wetu ulikuja baada ya kukutana na mama yake ambaye aliniomba nimuangalie Godzilla nikasema sawa, tulikuwa marafiki, mtu na dada yake na alikuwa anapenda kuniita Dada Chitty" amesema Mwasiti 

"Zillah alikuwa mtu mwenye huruma sana tofauti na watu walivyokuwa wanamuona mitandaoni, alikuwa ana uthubutu sana, vizazi vinavyokuja wajifunze kutoka kwake vinaweza kuwasogeza kwenye carrier ya wanaotaka ku-rap na wanaopenda muziki" ameongeza 

Mwasiti na Godzillah wamewahi kufanya kazi kwa pamoja ambazo zimefanya vizuri kwenye muziki wa BongoFlava kama Soldier na First class.

 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu