Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wagombea wasiozingatia ratiba kuchukuliwa hatua

Tuesday , 29th Sep , 2020

Jeshi la Polisi nchini limesema kuwa litaanza kuchukua hatua kwa wagombea wote ambao hawafuati ratiba ya kampeni iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi jambo ambalo ni kosa kulingana na kanuni za maadili ya vyama vya siasa na uchaguzi.

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi Nchini, CP Liberatus Sabas.

Hayo yamesemwa na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi Nchini, CP Liberatus Sabas, leo Septemba 29,jijini Dodoma ambapo amesema kuzingatia ratiba kunasaidia kulinda usalama wa raia na mgombea mwenyewe. 

“Kwa hiyo kuanzia sasa niseme tutaanza kuchukua hatua  kwa sababau usipochukua hatua likitokea lakutokea sisi jeshi la polisi ndio tunaokwenda kulaumiwa kwamba hatukutoa ulinzi ndio maana watu hawa wamedhurika” alisema Kamishana Sabas   

Aidha Kamishna Sabas, amesema kuwa jeshi la polisi limefikia hatua hiyo kutokana na kuwepo kwa baadhi ya wagombea ambao wamekuwa wakifanya kampeni kwenye maeneo ambayo hayako kwenye ratiba ya kampeni.

Katika hatua nyingine jeshi la polisi limelaani vikali vitendo vinavyofanywa na baadhi ya wagombea na wafuasi wao vyakutoa lugha za matusi, uzushi na uongo pamoja na kashfa kwa wagombea wengine zikiwa na lengo la kupandikiza chuki kwa wananchi.

Jeshi la polisi limetoa rai kwa wananchi kuendelea kuchukua tahadhari ya kubaini na kuzuia uhalifu  ili kuzuia kuathiri amani na usalama wa nchi.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu