Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wilaya ya Ilala kuhakiki vikundi vilivyokopa

Friday , 25th Sep , 2020

Kutokana na kuwepo kwa taarifa za kwamba baadhi ya vikundi vya wajasiriamali ambao wamepatiwa mikopo ya serikali isiyo na riba kuitumia nje ya utaratibu na kukwama kurejesha fedha hizo, Serikali imesema vikundi hivyo ama wajasiriamali wa aina hiyo ni hatari kwa ukuaji wa uchumi wa nchi.

Picha ya moja ya kikundi cha wajasiriamali

Akitoa taarifa ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendelea katika Halmashauri ya Ilala Mkuu wa Wilaya hiyo Ngw'ilabuzu Ludigija, amesema ameamua kuanza ziara rasmi ili kuvibaini vikundi vyote ambavyo vilipatiwa mikopo hiyo.

"Tangu nimeteuliwa kuwa mkuu wa wilaya hii nimekuwa nikizunguka kukagua miradi mbalimbali ya kimkakati ikiwemo Machinjio ya kisasa vingunguti,ujenzi wa masoko mapya ya kisasa ikiwemo soko la Kisutu sasa leo nataka nizungukie vikundi vyote vilivyopatiwa mikopo ili kubaini vilivyo hai na vilivyokwama pesa vilifanyia nini"amesema Ludigija.

Amesema haiwezekani Watanzania wakalipa kodi na tozo nyingine kutoka kwenye vyanzo vyao michango ambayo ndiyo hurudishwa kwa maendeleo ya wananchi halafu wahusika washindwe kufanya hivyo huku akiwataka wafanyabiashara kufuata masharti na taratibu zilizoko kwenye leseni zao za biashara.

Kufuatia changamoto ya wajasiriamali wengi kukopesheka kwenye taasisi mbalimbali za kifedha Serikali iliagiza Halmashauri zote nchini kutoa mikopo yenye masharti nafuu na isiyo na riba kwa makundi ya vijana asilimia nne  wanawake nne pamoja na asilimia mbili kwa watu wenye ulemavu.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani