Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Viwanda vyahimizwa kushiriki uzalishaji bora

Wednesday , 23rd Sep , 2020

Katika mkakati wa kuendeleza sera ya serikali ya uchumi wa viwanda na uzalishaji wa ajira viwanda vidogo na vikubwa vimetakiwa kuwekeza katika uzalishaji wa bidhaa bora zenye kukidhi viwango vya ndani na kimataifa.

Mkurugenzi wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) Leodgar Tenga.

Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) Leodgar Tenga wakati akitangaza kuhusu shindano la Tuzo za Rais za Mzalishaji Bora wa mwaka ikiwa na lengo la kutambua makampuni yanayohusika na uzalishaji wa bidhaa na huduma nchini.

“Kwa kipindi chote tumepata ushirikiano wa kutosha kutoka kwa wadau mbalimbali na kwa mwaka huu tumekwisha pokea idadi kubwa ya washiriki kutoka viwanda mbalimbaoi kote nchini. Tunahamashisha makampuni mengi kushiriki na hususani tunahamasisha ushiriki wa viwanda vya kati na vidogo” alisema Bw Tenga

Tenga amewataka viwanda vya kati na vidogo kutumia jukwaa hilo kama nafasi ya kwao kuongoza kwenye nyanja tofauti ili kuweza kutambulika, kuchangia ukuaji wa biashara zao huku washiriki wakieleza manufaaa waliyopata katika mashindano 15 yaliyopita.

“Mbuyu ulianza kama mchicha , hivyo ni muda muafaka kwa viwanda vya kati na vidogo kutumia jukwaa hili kama nafasi kwao kuongoza kwenye nyanja tofauti kutambulika, kuchangia ukuaji wa biashara zao”aliongeza Tenga

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu